[UAH] Kaguta decreed we should all begin to speak in TOUNGES
Even Egyptians are strangling us like Sudanese Dinkas
Updates za Msichana wa Tanzania Anayesemekana Atanyongwa Ijumaa huko Misri
Tumefanikiwa kuinasa video wakati akikamatwa na madawa ya kulevya...
Hizi ndo picha za huyo msichana anayetajwa kuwa ni Fatma aka Brown Berry wa Ilala Dar es Salaam ambae amekamatwa akisafirisha madawa ya kulevya au nchini Misri.
Pia chini kuna video inayoonyesha maafisa wa Egypt wakionyesha jinsi unga huo ulivyofichwa ndani ya begi kabla ya kubambwa
Hizi ndo picha za huyo msichana anayetajwa kuwa ni Fatma aka Brown Berry wa Ilala Dar es Salaam ambae amekamatwa akisafirisha madawa ya kulevya au nchini Misri.
Pia chini kuna video inayoonyesha maafisa wa Egypt wakionyesha jinsi unga huo ulivyofichwa ndani ya begi kabla ya kubambwa
![]() |
Akiwa na Mtoto wake |
![]() |
Akiwa na Boyfriend wake |
- Nas A Nas · Top Commenter · Model at S̶c̶h̶o̶o̶l / FâCeBôôk √nimemchek kwenye facebk kwa hilo jina lake la brown berry, duh inauma sana kwa kweli.
- Fredrich Kishindo · Follow · Transmission Department at Channel Tenukweli namwonea huruma sana, bado mdogo, mrembo afe hivihivi,
- Nas A Nas · Top Commenter · Model at S̶c̶h̶o̶o̶l / FâCeBôôk √hakusikiliza wimbo wa 20 percent? tamaa mbaya
___________________________________
Gwokto La'Kitgum
0 comments:
Post a Comment