UAH is secular, intellectual and non-aligned politically, culturally or religiously email discussion group.


{UAH} Unyanyasaji wa mashoga washtumiwa Uganda - WITH RAW GOOGLE TRANSLATION

Unyanyasaji wa mashoga washtumiwa Uganda

  • 27 Februari 2015
Mshirikishe mwenzako
Mashoga

Wakereketwa wa haki za binadamu nchini Uganda wanawashutumu polisi wa nchi hiyo, kwa kuwanyanyasa na kuwapiga wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja.

Kundi hilo liitwalo Chapter Four Uganda, linasema limeorodhesha visa kadhaa ambavyo polisi wanawalazimisha wanaume kuvua nguo zao na kubaki uchi, ili kuonyesha sehemu zao nyeti kubaini iwapo wanahusika katika matendo hayo ya ngono ya jinsia moja.

Waziri wa msawala ya ndani nchini Uganda Jenerali Aronda Nyakairima, ameiambia BBC kuwa madai hayo si ya kweli, lakini akasema kuwa afisi yake itayachunguza.

Mapenzi ya jinsia moja ni marufuku nchini Uganda, lakini serikali ina mpango wa kuanzisha sheria kali zaidi.


Gay violence chastised Uganda February 27, 2015 Associate partner Gay Human rights activists in Uganda, accuse the police of the country, to harass and beat men who have homosexual. 

The group called Chapter Four Uganda, says lists several cases in which police forced the men to take off their clothes and remain naked, to show their sensitive parts to identify whether they are involved in these acts of same sex. 

Minister of Uganda's domestic msawala General Aronda Nyakairima, told the BBC that the allegations are not true, but he said that his office shall examine. Homosexuality is banned in Uganda, but the government plans to introduce more strict rules.

___________________________________
Gwokto La'Kitgum
"Even a small dog can piss on a tall Building", Jim Hightower
10985486_10153012900210851_495489959852603091_n.jpg

--
Disclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.To unsubscribe from this group, send email to: ugandans-at-heart+unsubscribe@googlegroups.com or Abbey Semuwemba at: abbeysemuwemba@gmail.com.

Sharing is Caring:


WE LOVE COMMENTS


Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Followers